Kama Unaamini Mungu Amekubariki Kutazama Series yetu pendwa ya Dunia Episode ya (52) Gonga like hapa, Pia Mwenyezi Mungu Azidi kuwapa Afya njema Inshaallah🙏🙏
Aaah manyanya muongoo😂😂yaani ndio unafanya Vai aoenekane muongo mbele ya dada zake,kisaikolojia unamuweka vai kwenye hali iitwayo kudanganya dadazake kisa mapenzi🤣🤣🤣🤣🤣🏃♀️🏃♀️🏃♀️🙌🙌
nisawa lakin usisaha kuwa matt nimpenzi tu na si mke halali wa manyanya. angalia mke halali Sasa, pamoja na maneno mazuri ya manyanya aliyokuwa akimsifia na kumfundisha Ili aishi kama mke mwema ndani ya nyumba hakuweza msikivu na hivyo manyanya kuingia upande wa pili kitu kikakubali lakini pia usikute akifunga ndoa na huyo matt usishangae akabadilika na yeye . Hivyo basi wanawake mkiingia kwenye ndoa baadhi yenu mnajisahau rekebisheni hiyo tabia.
Leo lazima ni commnet. Kusema ukweli. Guyz tukapatana na mwanamke kama Matty in real life. Na asiwai geuka tabia yake. Hapa tunafunga pingu ya maisha milele. Nani anakubaliana na mm🙋♂🙋♂🙋♂
Jaman Kam Kuna wanawake wapo kwenye ndoa,,tushikirikiane,,kumuombea Vai msamaha,,,man na sisi tunaumia,,kuona mchepuko,,anatutesea mwanamke mwenzetu😢😢😢😢😢😢
@@FatmaAlly-w7pDhambi haitibiwi na Dhambi maana kila kosa linalipiwa, nikweli Vai anakosea na alikosea nahata njia anayotumia kusuluhisha anakosea maana suluhu ni kua na unyenyekevu na utii yeye anaweka ligi atalipia lakini pia Manyanya Yupo katika Good time now but huu uovu wakutika nje ya ndoa atalipia, Mungu sio Shabani
Manyanya apa ndio nmejua vai anakupenda na kafa nakuoza kwako for sure usimuache sababu mchepuko I say congratulations kwako vai na manyanya 🎉🎉🎉halafu muddy wewe toe talaka muache ciddy awe huru umeshindwa na ndoa wewe😊😊😊
Niseme kweliiii au ninyamaze??????? Pale SINEMA ZETU amna movie kali kama hii Na hii tamthilia ilistahili heshima zaidi na zaidi ila basiii tuuu mungu yupo hii itafika mbaliii sanaaaaaa🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Hapa ingekuwa mimi ni Vai vile manyanya si mgumu kutoa hela ningemwitisha hela nyingi kidogo nikamwambia naomba niende nitafute sehemu nikapooshe akili then ningekusanya nikaenda kukodi hata chumba sehemu nikajiweka busy na kusaka hela bila kumfatilia tena wala kumwonyesha chuki ila bora hangejua niko wapi muda ukipita hajaniona wala simwombi tena hela angenitafuta mwenyewe tu
KAMA HUJAWAHI KUIONA OFFICE YA MANYANYA KAMA MIMI TUJUANE HAPA❤❤❤😂😂😂
😂😂😂😂😂 daaah
🤣🤣🤣🤣 Nataman kuiona haki🤣🤣🤣 mana daaah😊
Nataman niione ety
😂😂😂😂😂😂
😂😂😂😂
Pamoja nakupenda filamu hii,Ombeyeni pia juu ya usalama ya nchi yangu Congo drc
Tupo kaka yangu nipo Drc butembo
Wale tumefurahia kwa kutochelewesha hii movie hello 👋👋 from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Acha nirudishe meno ndani sasa😂😂
Watu mpo busy kuomba like mi mnanikera 😡,badala ya kukoment kinachohusiana na tamthilia
@@catherinejustine6390 sister I you crazy,just read a comment & understand kindly hehehehehe
@@LucyAnyango-j3d🤣🤣🤣 lipuka kicheko
Jamani manyanya amrudie mkewe😢😢😢,,,,,mbona kumliza ,,,,tayari vaii kashajifunza
Wenye mnaona kama mdogo wake vai kampenda shemej manyany 😅tunyoosheni kidole😂
😂😂😂😂
Kama Unaamini Mungu Amekubariki Kutazama Series yetu pendwa ya Dunia Episode ya (52) Gonga like hapa, Pia Mwenyezi Mungu Azidi kuwapa Afya njema Inshaallah🙏🙏
Mnatucheleweshea Hadi tunakata tamaa af zikija nivifupi shida nn
Vai mbaka moto umuwakie 😂
Hslooooo anachoke haaaaah manyanya
Dunia ni show kabisa,naipenda Sana iyi muvie,yani kawimbo kazuri Sana i sai
Mwache abaki na komwe lake
Ila jaman ukweli usemwe kwenye hili goma piss kali ndo zimejaa 👌👌
Mat anajua San kupenda ...afu manyanya vitu anavopata uku kwa mkewe hapat yule kajaa jeur tu ,,respect sana mat❤🎉
😂😂sasa mdongo wake na vai😂 ni vipi⁉️😁mimi umeniuwa wallah ooh vitunguu manyanya sijuwe chepuko tuko nguvu vai ashikiliye ngufu tuh😅😂
Manyanya big up sana my brother kama kanumba vile daah kazi nzuri sana
Like kutoka zangu kutoka South Africa 🇿🇦 🎉🎉
😂😂😂😂Jamani mapenzi ya manyanya na Matty nimazuri sana adi raha wanavyo ishi 😂😂 wanao ungana na mm tujuane🎉🎉🎉
Wanatufanya cc tujione masingle😂😂😂😂
🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Maty mistari inapenya hiyo mpaka kwenye chupi😂
😂😂😂@@Bibi-he6vt
😅😅😅
Awa michepuko ya mdeme imenivunja mbavu 😅 aliecheka kama mimi tujuane 😂
washasema mdeme Ana lolote😂🤪
😂😂😂
@@BertinaCatitiAdamu Wacha wakutwe bibiye naye kaenda kuzima moto kwa dadake na kwake alishindwa kuuzimanga kweli nyani haoni k_ _ _ _ _ _
😂
😂😂😂😂😂😂 htr san
So poa vai regebesha kauri zako kwa mumeo ❤❤❤❤❤❤
Hili goma hatari aiseee nani anamkubali manyanya mtaalamu..❤
Michepuka ya mdeme chukue maua yenu 🎉🎉🎉🎉🎉😂😂😂😂😂😂
Nan upenda mziki ambao upiga kabla atokezee mudi na sindi 😂😂😂😂😂🎉
😂😂😂huo uko special kwa mudi na sindi😂😂😂😂😂
Mie nikiuskia. Najuwa tyl😂
Nkishaskia huo mziki najua Mudy muzunguu😅
Hapo Sasa mbea wenu Keisha Aibu kwenu
😂,😂😂😂❤unakosha kweli 😅😅😅😅
Yan manyanya kaonyesha uhalisia wa hali ya juu aisee jamaa genious
Mungu nimuhimu maishani mwako zaidi ya iyi dunia, dondosha like basi kwa ajiliyake ❤❤❤❤
Napenda kweli
Wanaompenda mery huyu mdogo ake na Vai aniambie mm napenda midomo yake
Nipo hapa nampenda aongeee
@AngelDavid-y5t nikajua hupend pamoja sana
Npo hapa😂😂
Ni kazuriii ilaa tatz kamdomo
@ElinaPoul-c5e 😂😂😂kamdom
Namuonea huruma vai anapitia wakati mgumu sana Pole sana vai😊😊😢😢😢😅😅😅😮😮❤❤
Good job. Coratleon. Angalau piah kipande hiki mmeongeza dakika. Angalau Kila kipande iwe vile-vile
Mapenz ya mkee na mume mtu wa pembeni hupaswi kuya ingiliya ona sasa walivyo zalilishwa dada zake vaii😂😂😂
😂😂😂😂
Mm siez ingilia watu waliovuliana nguo
Waliokuwa wanaogopa kuangalia wakijua niwale wanaotutumiaga hadi movie za wakina Alpaslan tujuane 😅😅😅😅
😂😂😂
Mm huyu😂😂😂
Wanakera sana 😂😂@@JustinJuliusMangombe
Me
😂😂😂nipo
Mwanaume ni mwanaume tu,anajua kucheza na akili za mwanamke manyanya hongera naelewa somo❤❤
Yuka kaka kiboko
Mnaona msapoti manyanya nyote hamuna akili
😂😂😂teenaa
@@RosetteKahuga anajuwa kucheza na akili ya mtu huyo kaka
Lkn Vai akifika atachoka
Ila mery jaman nampenda xana
mimi mimi "mimi mimi hihi nimetekwaa nimetekwa na mapenzi nimetekwaaaaaaaaaaa
nakapenda haka kanyimbo
❤
😂@@EvelynCharles-q4b
Heshima yko manyanya kzi nzuli umetixha xnaaaaaaàaa❤❤❤❤😊😊😊😊❤😊❤❤❤❤😊😊😊❤❤
Me binafsi nishampenda huyu mdogo wao wa mwisho yaan anaongea ukweli ukweli tu muda wote😅😅😅
Umeona eee ,
@@marthaPastory-m7n ndio yaan nimkweli mpaka rahaa
Yan yeye hana kupindisha pindisha😂😂😂
😂😂😂😂bunyumba nimambo manyanya stratégies ❤❤❤❤❤
Yan pambe kwwl😂❤
Nmeozaa ndaniii kwa ndaniii natembea ingaliii nmekufaaaa mawazoo yameniweka mtuu katiiii ❤❤❤ dah nomaaaah sanaaa
Hawa watakuwa ni mtu namdogo
😥😥
😅
Ila manyanya mmmh we kaka hongera zako unanifunza mengi kwenye penzi lako na Mati❤❤❤
Jamn jamn mm pia nnaham kmuuon manyanya akird kwa make wake wa ndoa❤❤❤❤
Mudi mpe talaka mkeo nimwoe
😂😂😂😂😂😂jaman@@peterkiarie2266
Manyanya kama manyanya we love you ❤
Ampe tu jmn sinde amechoka
Sindi hao wanakuchelewesha sana, we beba mabegi talaka itafata nyuma, me mwenyew nimemchoka mumeo😅😢😂😂
😅
😂😂😂
Asa ww anakukela huyo mmeo jaman
we mume wako😂
Sema sindy wew ni mwanamke na nusuu yan kwenye move ya dunia wew namba moja kwa uvumilivu mfano see more
Jamani vai kateseka sana lakini wanao amini kwamba manyanya ataludi kwake tujuane 😂❤❤❤
Arudi tu😢😢😢
Akirudi atamuumiza sana mart ndio maana wanaume tunakufa mapema tunashika mioyo ya mabinti wengi alafu tunaawacha ghafla
😅😅😅😅😅😅@@jameskilasa759
asirud kbs😅😂
no ata asirud
Ila manyanya ban your most organization of bongo movie series 🎉🎉🎉🎉🎉
Mwenyezi Mungu atujalie mwisho mwema 🤲🤲🤲
Ammin😢😢
Amiin
Ameen🙇🙏🙏
Amin
Amiiin
Michepuko imeamua kupatana jmn😂😂😂hii nimeipenda sana😂😂
Hii content nimeitafuta sana😂😂😂😂
😂😂😂😂😂
😂😂😂😂 nimecheka mimi jamani
😂😂😂😂😂🎉
😂😂😂
Kwakweli manyanya Yuko vizuri sana mungu amsaidie aendeleee kutufunza
Uwiiiihhhhh vaileth hajielew jmn!!!! Yaannn ndo maana mm sipendag kuingilia ndoa Za watu😂😂😂😂😂😂
""Mm mim nimetekwa na mapenzi "" naipenda iyo nyimbo bas tuu❤
Hat me
Nani aliiba ..jina la msanii
@@mikemaiko5590search nipe nipe tam tam utaipata
Mndeme umewekewa kikao huku 😂😂😂 umekwisha ....KAKA MKUBWA MANYANYA DAAAH INATOSHA SASA UNATUFANYA TUONE MAPENZI NI RAHISI KIASI HIKI🙌🙌🙌🙌🙌🙌
Ni kwl kbs
😂😂😂😂😂💯
Umetisha
Aaah manyanya muongoo😂😂yaani ndio unafanya Vai aoenekane muongo mbele ya dada zake,kisaikolojia unamuweka vai kwenye hali iitwayo kudanganya dadazake kisa mapenzi🤣🤣🤣🤣🤣🏃♀️🏃♀️🏃♀️🙌🙌
😂😂😂
😂😂 kitaalam
Manyanya acha uongo jamn umefanya vai aonekane muogo mbele ya dada zake 😂😂😂😂😂😂
Lakini yote aliyataka mwenyewe ndomana alimuuliza unacho kitengeneza utaweza kuimili kishindo akazalau yani vai acha jua likuwakie
Amecheza kama yeye 🤪😂😂😂😂
Aaah michepuko ya mndeme shikamoo😂😂😂nmewapenda bureee😅😅
😂😂😂😂 michepuko yenye mikakati 😂
😅😅@@PaulHaule-ge6ez
😂😂😂n balaaa
😂😂😂😂
Yaani nimecheka kama mpumbavu
Jaman wanao unga mkono mudy kutoa talak piga like ap❤❤❤
Wooooooo safi sana amwache ajiangaikie
Amuache aondoke zake yeye ameamuwa ku mchiti muenzie
@JeniphaEdward-w2b jaman mnajua kua akuna mwanaume mwenye mapenzi ya that Kama walev Mana kwao marazi ni kusaau
@stivendelignel588 akilewa Nan atampikia
Hakika tunapaswa kujifunza kwa matukio haya ya nfoa mungu awatangulie kwenye kazi yenu hii mzidi kutufunza. Tunawapenda sana
du
Eeeeeh jmn sijuw nisem je jins nilivyochelew kuhangalia hii move nitamu mno alafu nawapend nyinyi nyote mliochez hii filamu big up sn🙏👏🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Natamani mudi Ageuke na Aache kabisa pombe Atajilike ili mke wake Amuheshimu kama upo upande wangu tujuane weka like👍
Kwann sio mke wake apate talaka na aende akafanikiwe mana kamvumilia sana
shosho
Congratulations brother manyanya na mchumba wako 😂😂😂 napata somo
Wanaume wotee jifunzeni kwa manyanya jins ya kusifia wake zenu au wachumba zenu jamann manyanya anavuomsifia matty hadi raha yan❤😊😊
Usisahau kuwa hii n tamthilia😅😂
nisawa lakin usisaha kuwa matt nimpenzi tu na si mke halali wa manyanya.
angalia mke halali Sasa, pamoja na maneno mazuri ya manyanya aliyokuwa akimsifia na kumfundisha Ili aishi kama mke mwema ndani ya nyumba hakuweza msikivu na hivyo manyanya kuingia upande wa pili kitu kikakubali lakini pia usikute akifunga ndoa na huyo matt usishangae akabadilika na yeye .
Hivyo basi wanawake mkiingia kwenye ndoa baadhi yenu mnajisahau rekebisheni hiyo tabia.
😅😅😅😅😅 mpe huyo wadada hawa hawa wa kibongo au???,muulize.@@Tommbayeye1
@@Tommbayeye1😂😂😂😂
Wanawake wa kizazi hiki ni uongo
Kusema kwer manyanya na mati mnatufundisha sana yote kwa yote movie nzur sana tena kweny beat hii ya mimi mimi acha kbxa naombeni like na me nfurahie
❤❤❤
I'm from Kenya I wewe Ni kama kanumba❤😂
Manyanya ur de best🎉🎉🎉🥂
@highlight @followers
😂ila michepuko wa mdeme wamesha kuwa uduguu halooo🙌🙌🔥😂
😂😂😂😂😂😂😂
😂😂😂😂
@@JoãoTomáscanetaJoãoTomáscaneta 😂😂yetu machoo jmn
@@tasansamweli3766 move ndo kwqnzaa inaanza kwa mambo hayooo uwiii😂😂🔥
Ila ni nimewa penda bure hao michepuko
Leo lazima ni commnet. Kusema ukweli. Guyz tukapatana na mwanamke kama Matty in real life. Na asiwai geuka tabia yake. Hapa tunafunga pingu ya maisha milele. Nani anakubaliana na mm🙋♂🙋♂🙋♂
kabisaa
Ushaona kaka
@@InnocentNiyomwungere-f3n yeah mungu anibariki na mmoja
yeah .mungu anipee mmoja kama huyo
❤❤❤
Jamani ndoa ya manyanya kama inasokoteka kama ivio sema mwrnyewe et ndoa msokoto Nani ameliona ilo kama mm tujuwane apa😂😂🎉🎉
Big up 👆 sana manyanya mungu awajalie muendelee kuelimisha tu nahote tunao fatilia dunia🎉🎉🎉🎉
Tunaomba ITV na channels zingine zi saport ni somo kwa wasio kuwa na simu kubwa gonga like ❤❤🎉
Umesahau kuna wengine hawana tv wataangalia vipi
🙄🙄🙄
😂😂@@princesschicute79
😂😂😂 mnajua nachekea nn jinsi kidume anavyo jiamin nasubili wajichanganye kiwalambe
Umeona ee na kinawalamba kweli voo😂😂😂
Kinawaramba. Sio mdamrefu😂😂😂
Hahaha jmn huyu baba dah
Ameruka jamn kama sio yeye anaekaa kwa mati
Haujaelewa manyanya halali kwa mat na mat hajui nini kinaendelea nyumban kwa manyanya anaona ni kawaida@@RemijaMakoga
Mnatisha sana wakuu wanao muonea huruma vai ❤❤❤❤😂😂😂like
One of the best episode walahi mnajua❤❤❤❤
Jaman Kam Kuna wanawake wapo kwenye ndoa,,tushikirikiane,,kumuombea Vai msamaha,,,man na sisi tunaumia,,kuona mchepuko,,anatutesea mwanamke mwenzetu😢😢😢😢😢😢
Mimi Naona Sawa kwasababu hana kauli nzuri Kwa mumewe mume anahitaji malezi maneno mazuri kwahiyo Sawa ili ajifunze
😂😂😂😂
Ila manyanya huyo mchepuko atakuja muumiZa vibaya mnooo
Yaan, me mwenyew Hadi movie ishaanza kunikwaza
@@FatmaAlly-w7pDhambi haitibiwi na Dhambi maana kila kosa linalipiwa, nikweli Vai anakosea na alikosea nahata njia anayotumia kusuluhisha anakosea maana suluhu ni kua na unyenyekevu na utii yeye anaweka ligi atalipia lakini pia Manyanya Yupo katika Good time now but huu uovu wakutika nje ya ndoa atalipia, Mungu sio Shabani
Mr manyanya mungu azid kukujaalia kwa kila hatua unayopiga maana uko vizur kila idara baba wewe ongera sana kwa kipaji chako🙌🙌🙌🙌
Merry yyo ni mm mtupuu😅😅😅
ila Mary we kiboko 😂😂😂😂❤❤❤❤❤❤ nmekupenda bure😂😂😂
Aise ninekusapot
Aki amenifurahisha 😂😂😂😂
@JohnKaseja yaan kajua kunifurahisha linajua hadi raha et shemej kawa mta,,,,,,,,,,,,,!!!!!!!!!!!!!!!😂😂
@MakaNkoka nihatali nakwambia
Mer amenifurahisha kbs 😂😂😂
Wachezea kk manyanya ww ameshindikana manyanya walikua wanamsubri kwa hamu imekula kwao oyoooooooo nimeipenda hiyo 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉chukua maua yako kk🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Na hapo ndo washamkosa akimpeleka baba hospitar ndo kashasepa
😂😂😂😂😂
😂😂😂yani nilijuwa uyo mwamba hawamuwezi nyo wameishiwa pose
😂😂😂😂
Hatimae Leo nimekua wa kwanza jaman like zangu❤❤❤
Aaah tulia 😀😀
Jaman Vai mmh umejua kuangaika
Kitaalamu inaitwa ndoa mbomoko😂
Mungu awalinde na kuwatunza daima maana yeye ni kila kitu kwetu...hongeren kwa kazi nzuri
Manyanya apa ndio nmejua vai anakupenda na kafa nakuoza kwako for sure usimuache sababu mchepuko I say congratulations kwako vai na manyanya 🎉🎉🎉halafu muddy wewe toe talaka muache ciddy awe huru umeshindwa na ndoa wewe😊😊😊
Yaan nimeumia sana na nimemuonea huruma maskin dah😢😢😢😢😢😢
Kabisa aiseee ila Manyanya 😂😂😂
Shida ya vai kiburi na mjivuno kisa msomi😂😂😂hiii anatufunza wanawake wengi
Kweli hii movie Iko na mafunzo mazuri sana kwa wanandoa , tunza, thamini, na heshimu mumeo kabla mambo hayajaharibika akajutia 🥰🎉🎉💓
Mambo ya watu wawili usiingilie😂😂
Manyanya me napika unatumia ndimu nikuekee 😂😂😂😂😂
Asante umenifuraisha my love
😂😂😂😂
Sa mboga si imeungua uko jikonii jaman mkatie ndimu basii
Jmniiii watu mnajua kuwahii😂😂😂anyway mmewah had raha🎉🎉🎉😂❤❤❤
Mmejua kunifurahisha nmetoa mwendelezo mapema ❤❤❤
sanaa kwa kwelii😂
Wamefanya vyema ndo waendelee sasa
@ kbsaaaa
Yaap kabs
Hatimae wamejuana kichoko kama kawa
Niseme kweliiii au ninyamaze???????
Pale SINEMA ZETU amna movie kali kama hii
Na hii tamthilia ilistahili heshima zaidi na zaidi ila basiii tuuu mungu yupo hii itafika mbaliii sanaaaaaa🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Hiiii
Kuna tufani broo ni nzuri sana
@@ChimumyClassic-xq7dkusiifananishe duniya na tufani bn. Ni nzuri kwa kuburudisha tu. Ila haina mafunzo kama hii ni umalaya umalaya tu mule
Vai alizidi ùjeuri acha kimlambe😅😅😅😅😅 dadeki zake
Wow kazi nzuli sna manyanya hongela Sana tunawapnda Sana ♥️♥️♥️♥️🌹🇹🇿
Dunia ni Nzuri wahusika wote wazuri wanacho kifanya nikizuri Mungu abariki zaidi mnacho kifanya
Wanaume tuamke tufwate njia sa manyanya tusitatizwe na mashemegi hata kama kuna shida one love sote tunaofwatilia 🎉🎉 kutoka poland 🇵🇱🇵🇱🇵🇱
8:11 wazee njooni kwenye kikao😂😂😂
Yeeeeeeees Wanaongalia Hii Dunia Leo Juma Tano Gonga LIKE hapa Sisi ni Familia Saaaana
Muddy ananikera kweli ulev,plus kuto kuhudumia afu unamngangania mtot wa watu bc km ni umaskini hatukatai acha pombee 😪
Simpend hata kdg
@SalomeMkosamala-m4i na mindevu yake 😂😂
Nimeburudika sana jmn,mi huwa nafuatilia tu vipande vya Manyanya,kwa kweliiiiiii❤
Kama unaangalia ukiwa kitandaani na umechomeka simu chargi tuwe marafiki 😂🤣
Hapa mmeweza kwakweli weka tuweke ndio nzuri hii yakusubir week mzima hapa,hii safi🙌
Mmbo
Mmbo
Jeshi la vaii limeshindwa kaziii manyanyaaa amewazidii akiliii haaaaaa😂😂😂😂❤❤❤🎉🎉
Kabisaaa 🙌😂
@toryazimio3429 😁
Mwanaume ni mwanaume hatushindw kitu kabisa
🤣🤣
Vai ndo kaharibu kabisa.🥺🤦♀️ameniuzi mimi kuuitika bya uwongo nawakati anaumiya...atajikuta siku moja ananguka cini na kufa kwa kujikaza mambo.
tulio angaria dunia chini melisa imetusubiri 😂😂 tujuane 😊
Dunia,Melisa , penzi la mtoto wa boss na no time kwa Leo tu
Tunaelekea huko kaka
Vai kasomea uchepuko au nn❤❤❤❤ nampenda sana
Hii ni kazi nzuri sana hongeren
Huyo mdada kamkata vai kinoma kusema ukweli❤❤❤
Mimi mimi nimetekwa,nimetekwa na mapenzi ❤. Mnafanya kazi nzuri mno , MUNGU awaongoze Amina inshaallah
Mary amekuja kuchangamsha🎉🎉🎉🎉
Duh manyanya umetisha 😅😅😅🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤🎉🎉🎉❤❤❤😂 via hakuamin 😅😅😅😅
❤❤❤
Mungu awabariki sana wapendwa Kwa kutufundisha maisha 🙏🙏🙏
Nawapenda sana mati na manyanya😻😻😻 japo namuonea uruma mke wake manyanya anavoteseka
Ukitaka usimuonee huruma mke wa manyanya da vailet rudi kaangali episode ya 1 hadi pale manyanya anapo amua kupata mchepuko huruma itaisha2.💯💯😅
Manyanya anaakili sana ona alivyo ingia dadekiiiii😂😂😂😂😂😂wote wamepoa
😂😂🎉🎉❤apewe maua yake
🎉🎉🎉🎉
Uyooo ndooo ceo wa wanaume😅
Manyanya anajua vai anampenda ndy maana anamtesa 😢😢
Hapa ingekuwa mimi ni Vai vile manyanya si mgumu kutoa hela ningemwitisha hela nyingi kidogo nikamwambia naomba niende nitafute sehemu nikapooshe akili then ningekusanya nikaenda kukodi hata chumba sehemu nikajiweka busy na kusaka hela bila kumfatilia tena wala kumwonyesha chuki ila bora hangejua niko wapi muda ukipita hajaniona wala simwombi tena hela angenitafuta mwenyewe tu
Michepuko ya mdeme imenoga kama vile nyumba yao😂😂😂😂😂
😅😂😅😂😅😂😅😂😅
Yani wamechachawa😂😂
@@NeemaAkyoo-s4s nawamepatana sasa 😂😂😂😂😂
@@beautifulafrica6886 😂😂😂😂
@@aishaomar2287 🤣🤣🤣🤣
Duuuuh dkk 3 tu watu 300 wameshafika jaman kweli mpo active sana, mbarikiwe kwa hilo🎉🎉🎉🎉🎉
🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Vitalis tuna share jina bro.
mudy anyoe mandevu kawa kama kichaa
Uyu merry ni mim kbc uwiii 🙌🙌🙌🙌😅😅😅
Ni sawa vai alikuwa jeuri sana ila amekuwa mwema kwa mmewe na upendo umezidi manyanya nisamehee unatuuminza mashabiki
Kabisa.
Kwa kwl
Vip kuhusu Marty? Hauoni mtoto wa watu atajiua?
Leo nimewapongeza sana.. From Kenya... Inafaa hivi tusiboek sana
Leo merry kanifurahisha😂😂😂”ety shemej leo kawa MTAMU”
Daaah so nice Dunia,coz kuna Good education 💪💪👍👍💕